iqna

IQNA

nabii yakub
Shakhsia katika Qur'ani /20
TEHRAN (IQNA) – Baada ya Nabii Yakub, Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake,- AS- kujulikana kama Isra’il, familia yake na watoto wake waliitwa Bani Isra’il (wana wa Isra’il). Watoto na vizazi vyake wengi waliishi Misri na Palestina.
Habari ID: 3476237    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12